hellow!!!nikiwa chuo
Friday, June 28, 2013
Friday, June 7, 2013
DIAMOND NA PENNY YASEMEKANA HIVI KARIBUNI KUWA WAZAZI
TUMEINYAKA kwamba mimba anayotamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa amempachika mpenzi wake, Peniel Mungilwa ‘Penny’, inadaiwa kuanza kumtesa mtangazaji huyo wa DTV, Ijumaa Wikienda linashuka nayo.

Diamond na Penny katika pozi.
Akizungumzia hali hiyo, Penny aliliambia gazeti hili kuwa ni kweli
alizidiwa usiku na alikimbizwa hospitali ambapo pamoja na mengine lakini
kubwa vipimo vilionesha kuwa alikuwa na malaria.Hata hivyo, habari tulizozipata wakati tunakwenda mitamboni zilieleza kuwa Penny aliruhusiwa kutoka hospitalini na anaendelea vizuri.
Thursday, June 6, 2013
AMANDA AFUNGUKA,SIKIA.....
MWIGIZAJI, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa Wabongo wengi wamekuwa hawana elimu ya masuala ya misiba kwa kutolea mfano kifo cha msanii, Albert Mangwea ‘Ngwair’.
“Siyo vyema kusambaza picha za marehemu tena za mochwari, vuta picha kama ingekuwa ndugu yako ungefanya hivyo? Naombeni muache hiyo tabia na mjifunze kuanzia sasa,” alisema Amanda.
BINTI WA MICHAEL JACKSON,ATAKA KUJIUA
PARIS, binti wa aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Marekani, hayati Michael Jackson, amelazwa hospitali baada ya kunusurika kujiua ikiwa ni siku chake kabla ya kutimia miaka minne ya kifo cha baba yake. Binti huyo ana umri wa miaka 15.
Binti huyo aliyelazwa hospitalini mjini Los Angeles anasemekana alimeza madawa kuliko kiwango kinachotakiwa.
Kwa mujibu wa Perry Sanders ambaye ni mwanasheria wa mama yake hayati Michael (Katherine Jackson), msichana huyo alichukuliwa na gari la wagonjwa saa 7.27 usiku na kupelekwa hospitali ambako hali yake inaendelea vyema.…
PARIS, binti wa aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Marekani, hayati Michael Jackson, amelazwa hospitali baada ya kunusurika kujiua ikiwa ni siku chake kabla ya kutimia miaka minne ya kifo cha baba yake. Binti huyo ana umri wa miaka 15.
Binti huyo aliyelazwa hospitalini mjini Los Angeles anasemekana alimeza madawa kuliko kiwango kinachotakiwa.
Kwa mujibu wa Perry Sanders ambaye ni mwanasheria wa mama yake hayati Michael (Katherine Jackson), msichana huyo alichukuliwa na gari la wagonjwa saa 7.27 usiku na kupelekwa hospitali ambako hali yake inaendelea vyema.
Mwanasheria huyo pia hakutaka kuelezea sababu iliyomfikisha msichana huyo hospitali isipokuwa aliishia kusema tu kwamba hali yake inaendelea vizuri.
(Chanzo: The Independent) Paris Michael Jackson anayesemekana alitaka kujiua.
PARIS, binti wa aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Marekani, hayati Michael Jackson, amelazwa hospitali baada ya kunusurika kujiua ikiwa ni siku chake kabla ya kutimia miaka minne ya kifo cha baba yake. Binti huyo ana umri wa miaka 15.
Binti huyo aliyelazwa hospitalini mjini Los Angeles anasemekana alimeza madawa kuliko kiwango kinachotakiwa.
Kwa mujibu wa Perry Sanders ambaye ni mwanasheria wa mama yake hayati Michael (Katherine Jackson), msichana huyo alichukuliwa na gari la wagonjwa saa 7.27 usiku na kupelekwa hospitali ambako hali yake inaendelea vyema.
Mwanasheria huyo pia hakutaka kuelezea sababu iliyomfikisha msichana huyo hospitali isipokuwa aliishia kusema tu kwamba hali yake inaendelea vizuri.
MWILI WA MALEHEMU NGWEA WAPIGWA STOP PANDE ZA MIKESE
Wataka kujua nini kilitokea soma hapa,
Wanamchi wa maeneo ya mikese, wamekusanyika na kuusimamisha msafara uliobeba mwili wa marehem Ngwea kwa kutaka na wao wamuage, akizungumza na Cloud Fm "Moe Fire" amesema walikutana na kundi la watu na kudhani labda kuna tatizo. Baada ya kusimamishwa na trafic na kuuliza tatizo ni nini, Trafic alisema kuwa wananchi hao wamekusanyika na ili kuuaga mwili wa marehem Ngwea na kudai kitendo hicho kikifanyika ndio amani itapatikana.
Kilichofanyika ni kuruhusu watu wle walishike gari lililokuwa na mwili wa Ngwea na kuondoka, lakini baada ya kuondoka, zaidi ya pikipiki 50 walizozikuta pale ziliongoza msafara huku magari mengine pia yakiunga msafara huo.
Wanamchi wa maeneo ya mikese, wamekusanyika na kuusimamisha msafara uliobeba mwili wa marehem Ngwea kwa kutaka na wao wamuage, akizungumza na Cloud Fm "Moe Fire" amesema walikutana na kundi la watu na kudhani labda kuna tatizo. Baada ya kusimamishwa na trafic na kuuliza tatizo ni nini, Trafic alisema kuwa wananchi hao wamekusanyika na ili kuuaga mwili wa marehem Ngwea na kudai kitendo hicho kikifanyika ndio amani itapatikana.
Kilichofanyika ni kuruhusu watu wle walishike gari lililokuwa na mwili wa Ngwea na kuondoka, lakini baada ya kuondoka, zaidi ya pikipiki 50 walizozikuta pale ziliongoza msafara huku magari mengine pia yakiunga msafara huo.
MWIMBAJI WA MIONDOKO YA TAARABU KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE
HABARI
Malkia wa mipasho Khadija Omari Kopa amefiwa na mumewe (Jaffari Ally) usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lugalo, jijini Dar es salaam.Marehem alilazwa katika hospitali hiyo siku ya jumatatu ya wiki hii, na mpaka anafariki mke wake (Kadija Kopa) alikuwa Rukwa kikazi ambapo leo hii anatarajiwa kufika jijini Dar kwa ajili ya mazishi ya mumewe. msiba kwa Dar upo maeneo ya mtogole nyumbani kwa mama yake marehem Jaffari
Malkia wa mipasho Khadija Omari Kopa amefiwa na mumewe (Jaffari Ally) usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lugalo, jijini Dar es salaam.Marehem alilazwa katika hospitali hiyo siku ya jumatatu ya wiki hii, na mpaka anafariki mke wake (Kadija Kopa) alikuwa Rukwa kikazi ambapo leo hii anatarajiwa kufika jijini Dar kwa ajili ya mazishi ya mumewe. msiba kwa Dar upo maeneo ya mtogole nyumbani kwa mama yake marehem Jaffari
Subscribe to:
Posts (Atom)