Thursday, June 6, 2013

MWIMBAJI WA MIONDOKO YA TAARABU KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE

HABARI
Malkia wa mipasho Khadija Omari Kopa amefiwa na mumewe (Jaffari Ally) usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lugalo, jijini Dar es salaam.Marehem alilazwa katika hospitali hiyo siku ya jumatatu ya wiki hii, na mpaka anafariki mke wake (Kadija Kopa) alikuwa Rukwa kikazi ambapo leo hii anatarajiwa kufika jijini Dar kwa ajili ya mazishi ya mumewe. msiba kwa Dar upo maeneo ya mtogole nyumbani kwa mama yake marehem Jaffari

No comments:

Post a Comment