MWIGIZAJI, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa Wabongo wengi wamekuwa hawana elimu ya masuala ya misiba kwa kutolea mfano kifo cha msanii, Albert Mangwea ‘Ngwair’.
“Siyo vyema kusambaza picha za marehemu tena za mochwari, vuta picha kama ingekuwa ndugu yako ungefanya hivyo? Naombeni muache hiyo tabia na mjifunze kuanzia sasa,” alisema Amanda.
No comments:
Post a Comment