Hawaapa.......,,,
Big Brother Africa 2013 "The Chase" imeanza kwa kasi usiku wa leo (26
may) na msanii Feza Kessy na Nando ndio wanaoiwakilisha Tanzania. kwa
mujibhu wa story yake mwenyewe Nando ni mtanzania anaeishi marekani
lakini ilimbidi aombe hela kwa marafiki zake kwa ajili ya kupata ticket
ya kuja Tanzania kufanya usahili wa BBA, amesema kama angekosa nafasi ya
kuiwakilisha Tanzania asinge juta maana pia alikua hajamuona bibi yake
kwa miaka mingi, kwahiyo angekuwa kaitumia nafasi hiyo kuja kumuona bibi
yake.
No comments:
Post a Comment