Sunday, May 26, 2013

We thanks mama- P’ Square

Ibada ni nguzo yetu ,mama alituambia
Wasanii hao waliweka wazi hilo kwenye mahojiano maalumu kuwa,pamoja na kuwa nao kwenye kila hatua ya maisha yao lakini kitu kikubwa alichowaachia kama urithi ni kumuabudu mungu bila kuchoka.
Wanamuziki mapacha  Peter na Paul Okoye,wanaounda kundi la P’Squre,wameweka wazi kuwa pamoja na kufanya muziki wao ni waumini wazuri wa dini ya kikikristo kitu pekee ambacho wamerithishwa na marehemu mama yao.
Wasanii hao waliweka wazi hilo kwenye mahojiano maalumu kuwa,pamoja na kuwa nao kwenye kila hatua ya maisha yao lakini kitu kikubwa alichowaachia kama urithi ni kumuabudu mungu bila kuchoka.
“Mama yetu alikuwa ni mcha Mungu na mhubiri mzuri kwenye kanisa lake na siku zote alitulea katika maadili hayo mema na huo unabaki kuwa ni urthi wa pekee kwetu,”walisema pacha hao.
Aidha, Paul aliweka wazi wanakuwa baba bora kwa watoto wao kutokana na kupata malezi mazuri na yenye upendo kutoka kwa mama yao. Mama yao alifariki dunia Julai 12, mwaka jana.

No comments:

Post a Comment