Sunday, August 11, 2013

elewa GAME

Basketball ni mchezo mzuri unaoweza kulinda afya yako na kukujengea body strength pia kukuongezea uwezo wa kufikiria ni burudani kwako na ni ajira kwako.Mtanzania jifunze kupitia video hii

Friday, August 9, 2013

GOOD MORNING TANZANIA

NAFUNGUA KINYWA!!!!!!

i wanna sleep

usiku mwema TANZANIA

IS ME ENGINEER

NAPENDA KUWA MTANZANIA

Unamkumbuaka huyu? ISAAC NEWTON

Ni lejendari wa mwanasayansi aliye logic kuwa kwa nini nikirusha kitu juu huwa kinarudi chini aridhini?Mfano wake yeye alikuwa chini ya mti nyumbani kwao,mti aliokuwepo ulikuwa na matunda yaliokomaa na kuiva mara ghafula tunda lilidondoka toka mtini na kuangukia karibu na sehemu ilipokua ameketi.Akaliokota na kujiuliza kwa nini tunda hili limedondoka aridhini na kwanini alikuelekea juu angani kwani pia kulikua na space kubwa ya kutosha tunda hilo.HAPA NAZUNGUMZIA MWANZO WA RISACHI YAKE KUHUSU gravitational force.MY self i remember and i learn one thing through this logic kuwa"Ukijifunza kulogic vitu vidogo kuna uwezekano mkubwa wa kugundua yalio makubwa" Hivyo Watanzania wenzangu tuwafunze watoto zetu kutaka kujua sababu ya yalio madogo sababu ni chanzo kizuri cha kuweza kujua hata hayo makubwa na yanashangaza dunia hadi sasa .For lil i miss this man Isaac Newton

Thursday, August 8, 2013

Usher's Son Almost Fully-Recovered After Pool Accident

Custody issues aside, Usher and his ex-wife, Tameka Foster, must be breathing a collective sigh of relief today. The former couple's older son, Usher Raymond V, is recovering and in good spirits following a potentially deadly pool incident on Tuesday. The five-year-old is still in the ICU, but is talking, laughing and eating, according to TMZ.

The tot nearly died on Tuesday after he got his hand stuck in a pool drain while trying to retrieve a lost toy. Usher V was rushed to the hospital and has been under intensive care ever since. 

Foster, who has been engaged in a bitter custody battle with the R&B singer following their 2009 divorce, is using the incident as ammunition to regain custody of the two boys. She asked for an emergency hearing, saying that Ush's negligence could have killed their son. She added that the "OMG" singer was away from his kids "85 percent of the time" and that the nannies and caretakers he hired to attend to the kids are unqualified. 

The incident must be especially chilling for Foster, who lost her eldest son, Kyle Glover, in a jet-ski accident last year. 

Usher said in a statement, "I would like to thank my Aunt Rena as well as the doctors and nurses who are working with us around the clock. I would especially like to thank the two men who saved my son's life, Eugene Stachurski and Ben Crews.  They are true heroes and I am deeply grateful to them."  The statement continued, "I am blessed and fortunate to say that my son Usher V is doing well and is recovering.  I am overwhelmed by the outpouring of prayers, love and support for my family's well-being."

James does jury duty, but no trials develop


LeBron James' court time Thursday had nothing to do with basketball.
James was back in his hometown for jury duty, though the Miami Heat star never had the chance to serve as a juror.
The NBA's MVP posted a photo of himself on social media Thursday morning with the caption: "Jury duty time. Time to serve my civic duty."
James arrived at the Summit County Courthouse around 8:20 a.m., according to the Akron Beacon Journal. But he was sent home along with the rest of the jury pool about 9:30 after two potential criminal trials did not take place.
James read a book while waiting "quietly and appreciatively" in the office of the jury foreman, Sheriff's Lt. Kandy Fatheree told the newspaper.

Shabazz Muhammad sent home from NBA Rookie Transition Program, brought female guest to room

Minnesota Timberwolves rookie Shabazz Muhammad has been sent home from the NBA's Rookie Transition Program "for violating of a rule and bringing a female guest into his hotel room," USA TODAY Sports's Jeff Zillgitt reported Wednesday, citing an anonymous source familiar with the situation:
Muhammad, who also will be fined, was in Florham Park, N.J. for the four-day program which helps rookies transition into the league through a series of seminars, instructions and guest speakers. [...]
Just hours before Muhammad was sent home, players were given the rules for the program, which included no guests unless approved by program administrators.
Muhammad, the No. 14 pick in the draft, will have to return next summer and complete the program with the 2014 draft class and others who have not yet attended.
Kind of a summer bummer that, at least in terms of the RTP, Shabazz now finds himself held back a year. I'd imagine he's had quite enough of that.

It's worth noting that, according to Zillgitt's source, Muhammad wasn't given the boot for doing anything illegal, as was the case when Mario Chalmers of the Miami Heat and Darrell Arthur of the Memphis Grizzlies were kicked out in 2008 after being found with marijuana (and women) in their hotel rooms during the rookie program. (Michael Beasley, then Chalmers' teammate with the Heat, was later fined $50,000 after admitting he had been at the scene of the crime but snuck out to avoid getting caught.) Muhammad appears at this point to have just been bounced for being busted breaking a rule, which isn't great, but also isn't the worst and craziest thing in the world.
Also, it's not like the transition program ejection forever doomed Chalmers and Arthur to being viewed as slackers and NBA pariahs. The former has become a valued contributor and starting point guard on back-to-back NBA champions, while the latter has fought through injuries to become a rotation-caliber big man, first for the Memphis Grizzlies and now with the Denver Nuggets. (Beasley, as you might have heard, is doing less great nowadays.)
Still, this is obviously a less-than-ideal development for a player whose introduction to the NBA world included the revelation that he's a year older than everybody thought he was, his father being indicted on federal fraud charges, a subsequent drop to the middle of the first round of the 2013 NBA draft, where his selection was booed by Wolves fans watching the proceedings at the Target Center, and a Summer League performance that, despite efforts to the contrary, didn't do much to change the perception of his game as scoring-dependent, me-first and relatively light on secondary skill sets.
When you're a young player whose maturity and decision-making have already come under as scrutiny as Muhammad's have, every bump in the road to personal development seems more jarring, more telling and more damning. While this could very well wind up being little more than a minuscule footnote in the young swingman's NBA story, the nature of the offense — not only being unable to steer clear of trouble for a three-day event, but getting called out mere hours after having the rules detailed — looks a bit bigger right now, adding a bit more depth to the hole out of which he'll need to climb to establish himself as a reliable professional, both on and off the court, in the minds of many NBA observers.
The removal from the rookie program, which is aimed at preparing incoming first-year players for the myriad off-court issues they may face as they make the move from amateur to professional, seems kind of interesting given a pair of quotes about the program that appeared in an advance story on the RTP by Mark Remme of the Timbewolves' official website — one from Shabazz himself, the other from nine-year NBA veteran Kevin Martin:
Muhammad said he feels the responsibility, but he understands the key to success.
“Just carrying yourself the right way,” he said. “And making sure you’re nice to everybody, because you’re carrying out your brand and it will really help you out as a basketball player, and not only as a basketball player but as a person as well.” [...]
“You have to learn to be an adult,” Martin said. “The NBA has a great program about hanging out with the right people and all that. It all factors into one great event for the rookies. Now it’s time to be an adult.”

I LOVE ALL TANZANIAN FAMILLY

NAKUPENDA TANZANIA

Its holiday ni KULA BATA MNENE PANDE GREEN CITY Mbeya

fanyeni yenu

GOOD NIGHT PANDE ZA MWANZA na sehemu zingine Tanzania

i love u Mwanza town

NATETEA LOVE

CHEZEA TUNDA WEYEEEE!
Mchizi: Nisamehee baby, nipo chini ya miguu yako my love!
Demu: Unajua nishachoshwa na karaha zako, okey ukitaka nikusamehe kaniletee Nokia Lumia 1020

Wednesday, August 7, 2013

Tuesday, August 6, 2013

Know these in my Project field i experience
RADIAL FORCE refers to a force that exists perpendicular to the drill centerline.WHILE
AXIAL FORCE refers to a force applied parallel to the centerline of a shaft.
g9t

me as one Engineering community,their are some day i DO.

Friday, June 7, 2013

DIAMOND NA PENNY YASEMEKANA HIVI KARIBUNI KUWA WAZAZI


Na Imelda Mtema
TUMEINYAKA kwamba mimba anayotamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa amempachika mpenzi wake, Peniel Mungilwa ‘Penny’, inadaiwa kuanza kumtesa mtangazaji huyo wa DTV, Ijumaa Wikienda linashuka nayo.
Penny akiwa hospitali.
Habari zisizokuwa na chenga kutoka kwa chanzo chetu ambacho ni mtu wa karibu wa mrembo huyo, zilieleza kwamba kufuatia hali hiyo, Penny alikimbizwa kwenye Hospitali ya Regency, Dar wikiendi iliyopita kisha  akalazwa, akachomwa sindano na kutundikiwa dripu.

Diamond na Penny katika pozi.
Akizungumzia hali hiyo, Penny aliliambia gazeti hili kuwa ni kweli alizidiwa usiku na alikimbizwa hospitali ambapo pamoja na mengine lakini kubwa vipimo vilionesha kuwa alikuwa na malaria.
Hata hivyo, habari tulizozipata wakati tunakwenda mitamboni zilieleza kuwa Penny aliruhusiwa kutoka hospitalini na anaendelea vizuri.

Thursday, June 6, 2013

AMANDA AFUNGUKA,SIKIA.....


Na Gladness Mallya
MWIGIZAJI, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa Wabongo wengi wamekuwa hawana elimu ya masuala ya misiba kwa kutolea mfano kifo cha msanii, Albert Mangwea ‘Ngwair’.
Albert Mangwea ‘Ngwair’.
Akifafanua kauli yake, Amanda alianza kwa kuwapaka wote ambao walikuwa wakim-tag picha za marehemu Mangwea kwenye mtandao wa Facebook ambazo kimsingi alidai si busara kimaadili ya mwafrika na kuwataka waache mara moja.
“Siyo vyema kusambaza picha za marehemu tena za mochwari, vuta picha kama ingekuwa ndugu yako ungefanya hivyo? Naombeni muache hiyo tabia na mjifunze kuanzia sasa,” alisema Amanda.

BINTI WA MICHAEL JACKSON,ATAKA KUJIUA


                                      Paris Michael Jackson anayesemekana alitaka kujiua.
PARIS, binti wa aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Marekani, hayati  Michael Jackson, amelazwa hospitali baada ya kunusurika kujiua ikiwa ni siku chake kabla ya kutimia miaka minne ya kifo cha baba yake. Binti huyo ana umri wa miaka 15.
Binti huyo aliyelazwa hospitalini mjini Los Angeles anasemekana alimeza madawa kuliko kiwango kinachotakiwa.
Kwa mujibu wa Perry Sanders ambaye ni mwanasheria wa mama yake hayati Michael (Katherine Jackson), msichana huyo alichukuliwa na gari la wagonjwa saa 7.27 usiku na kupelekwa hospitali ambako hali yake inaendelea vyema.…
                                      Paris Michael Jackson anayesemekana alitaka kujiua.
PARIS, binti wa aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Marekani, hayati  Michael Jackson, amelazwa hospitali baada ya kunusurika kujiua ikiwa ni siku chake kabla ya kutimia miaka minne ya kifo cha baba yake. Binti huyo ana umri wa miaka 15.
Binti huyo aliyelazwa hospitalini mjini Los Angeles anasemekana alimeza madawa kuliko kiwango kinachotakiwa.
Kwa mujibu wa Perry Sanders ambaye ni mwanasheria wa mama yake hayati Michael (Katherine Jackson), msichana huyo alichukuliwa na gari la wagonjwa saa 7.27 usiku na kupelekwa hospitali ambako hali yake inaendelea vyema.
Mwanasheria huyo pia hakutaka kuelezea sababu iliyomfikisha msichana huyo hospitali isipokuwa aliishia kusema tu kwamba hali yake inaendelea vizuri.
                                                           (Chanzo: The Independent)                                      Paris Michael Jackson anayesemekana alitaka kujiua.

PARIS, binti wa aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Marekani, hayati  Michael Jackson, amelazwa hospitali baada ya kunusurika kujiua ikiwa ni siku chake kabla ya kutimia miaka minne ya kifo cha baba yake. Binti huyo ana umri wa miaka 15.
Binti huyo aliyelazwa hospitalini mjini Los Angeles anasemekana alimeza madawa kuliko kiwango kinachotakiwa.
Kwa mujibu wa Perry Sanders ambaye ni mwanasheria wa mama yake hayati Michael (Katherine Jackson), msichana huyo alichukuliwa na gari la wagonjwa saa 7.27 usiku na kupelekwa hospitali ambako hali yake inaendelea vyema.
Mwanasheria huyo pia hakutaka kuelezea sababu iliyomfikisha msichana huyo hospitali isipokuwa aliishia kusema tu kwamba hali yake inaendelea vizuri.
 

JANA BBA,WATZ TUMEFIKA SIKU YA 10

Mshiriki anayeiwakilisha Tanzania Feza Kessy katika pozi.
Mshiriki mwingine kutoka Tanzania Ammy nando

MWILI WA MALEHEMU NGWEA WAPIGWA STOP PANDE ZA MIKESE

Wataka kujua nini kilitokea soma hapa,
 Wanamchi wa maeneo ya mikese, wamekusanyika na kuusimamisha msafara uliobeba mwili wa marehem Ngwea kwa kutaka na wao wamuage, akizungumza na Cloud Fm "Moe Fire" amesema walikutana na kundi la watu na kudhani labda kuna tatizo. Baada ya kusimamishwa na trafic na kuuliza tatizo ni nini, Trafic alisema kuwa wananchi hao wamekusanyika na ili kuuaga mwili wa marehem Ngwea na kudai kitendo hicho kikifanyika ndio amani itapatikana.
Kilichofanyika ni kuruhusu watu wle walishike gari lililokuwa na mwili wa Ngwea na kuondoka, lakini baada ya kuondoka, zaidi ya pikipiki 50 walizozikuta pale ziliongoza msafara huku magari mengine pia yakiunga msafara huo.

MWIMBAJI WA MIONDOKO YA TAARABU KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE

HABARI
Malkia wa mipasho Khadija Omari Kopa amefiwa na mumewe (Jaffari Ally) usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lugalo, jijini Dar es salaam.Marehem alilazwa katika hospitali hiyo siku ya jumatatu ya wiki hii, na mpaka anafariki mke wake (Kadija Kopa) alikuwa Rukwa kikazi ambapo leo hii anatarajiwa kufika jijini Dar kwa ajili ya mazishi ya mumewe. msiba kwa Dar upo maeneo ya mtogole nyumbani kwa mama yake marehem Jaffari

Wednesday, May 29, 2013

je, UNAJUA IZI INFOR.....

HUYU NDO BABA MZAZI WA WEMA SEPETU

 SIKU CHACHE kupitia mtandao wa Instagram, Pttiman alitupia picha akiwa baba yake mzazi, mzee Sepetu, huku pembeni akiwepo mtu wake wa karibu sana "Pettiman. Nimeona ni vizuri kushare na wewe, kwasababu nilikuwa sijawahi kabisa kumuona sehem yoyote

MASO GANGE TENAAAAAAAA.

VIDEO Queen wa Bongo Fleva, Agness Jerald ‘Masogange’ anasumbuliwa na tatizo la kuota ndoto mbaya usiku na kuamka kisha kutoka nje na kutimua mbio, jambo ambalo kwa wengi linaweza kuonekana kuwa ni maajabu.

Habari kutoka kwa sosi wangu, zinasema kuwa katikati ya wiki iliyopita, Masogange akiwa ndotoni, aliamka na kufungua milango na geti la nje kisha kutimua mbio umbali mrefu akiwa na nguo za kulalia na miguuni hana  viatu.
“Bahati nzuri ni kwamba, wakati…
Agness Jerald ‘Masogange’.
Habari kutoka kwa kitaa, zinasema kuwa katikati ya wiki iliyopita, Masogange akiwa ndotoni, aliamka na kufungua milango na geti la nje kisha kutimua mbio umbali mrefu akiwa na nguo za kulalia na miguuni hana  viatu.
“Bahati nzuri ni kwamba, wakati anahangaika kufungua geti, rafiki yake aliyekuwa amelala naye alishtuka na kushangaa kukuta milango iko wazi. Alipotoka nje, akakuta Masogange ndiyo anamalizia kufungua geti kubwa na kuanza kukimbia hivyo akamkimbiza,” kilieleza chanzo chetu.
Akaongeza: “Lakini pia aliwapigia simu marafiki zake wengine na kuwajulisha juu ya tukio hilo, maana mwenyewe ilikuwa mara ya kwanza kumuona katika hali hiyo.”
MASOGANGE ANASEMAJE?
Risasi Mchanganyiko kama ilivyo kawaida yake ya kutokukurupuka, lilimsaka Masogange kwa simu na kufanikiwa ambapo alithibitisha tukio hilo na kufafanua kwamba liliwahi kumtesa kwa muda mrefu huko nyuma, likaisha.
“Ilikuwa hatari sana lakini namshukuru rafiki yangu kwa kunisaidia. Unajua hili tatizo liliwahi kunitesa sana wakati nikiwa mdogo lakini nilikwenda Mbeya nikapewa dawa tatizo likapotea kabisa hadi juzi liliporudi tena,” alisema.


TOTO LA DAR KULEEEE MBAGALA.......Duhhhh si kafunguka..unataka kujua nini?

KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?
Diamond akiwa na Penny. Akifunguka katika mahojiano maalum wiki iliyopita na Kipindi cha Sporah Show cha runingani alipokuwa kwenye ziara ya kimuziki nchini humo, Diamond alizungumza ishu kibao za kimapenzi hasa juu ya msururu wa wanawake ambao tayari ametoka nao.
ASISITIZA ANASUBIRI MTOTO
Kabla ya yote, staa huyo alisisitiza kuwa muda si mrefu anatarajia kupata mtoto kutoka kwa mpenzi wake wa sasa, Peniel Mungilwa ‘Penny’ akimaanisha kuwa ni mjamzito, kinyume na msichana huyo ambaye hivi karibuni alimshangaa Diamond kueneza habari hizo.


...akiwa na Wema. KWA NINI ANAPENDA KUBADILISHA WANAWAKE?
Diamond: Mimi ni binadamu kama binadamu wengine wa kawaida. Nampenda mwanamke anayenipenda na kuniheshimu. Ikitokea mikwaruzano huwa mimi nakaa pembeni, natafuta sehemu nyingine. Wakati mwingine mimi ndiye huwa naachwa.
KWA NINI MSURURU NDANI YA KIPINDI CHA MIAKA MITATU?
Diamond: Nikiwa na mtu nikiachana naye naonekana nina matatizo kwa sababu wakati mwingine nakuwa na wanawake wenye majina. Siwezi kukaa bila uhusiano na nakuwa wazi kwa sababu lazima itajulikana tu na kuandikwa kwenye magazeti. Kuna kipindi nilikaa miezi sita bila kufanya kitu chochote (mh!). Lakini nikianza (uhusiano), nikihama naonekana msumbufu.

...akiwa na Jokate.
KWA NINI MASTAA, TENA MARAFIKI?
Diamond: Huwa sitoki, nakuwa nyumbani tu, nakaa na mama yangu (Sanura Kassim ‘Sandra’) nampikia. Nikitoka nakwenda kwenye shoo au studio. Huko ndiko nakutana nao (mastaa wa kike).
ALIMPATAJE JOKATE (MWEGELO)?
Diamond: Alikuwa anazindua nguo zake (Kidoti) akaniomba nikapite nazo kwenye onesho la mavazi, nikapita nazo jukwaani. Baada ya hapo na mimi nilimuomba nifanye naye video ya wimbo wangu (Mawazo), ndiyo ikatokea kama hivyo.
NINI KILIMVUTIA KWA PENNY?
Diamond: Kwanza mimi nilimjua Penny kabla ya Wema (Sepetu), alikuwa mshikaji wangu. Ni mwanamke mzuri, wa kileo, ana akili adabu na heshima. Anampenda mama yangu na familia yangu ‘coz’ na mimi nampenda mama yangu (sifa ambazo kwa mujibu wake Wema alizikosa).
KWA NINI ALIMREKODI WEMA?
Diamond: Kila binadamu anajiona yupo sawa na anaonewa. Sipendi kuongea, nitazungumza vibaya. Mapenzi yanaumiza na mimi naumia pia lakini watu wanadhani mimi ndiye muumizaji. Unamwambia mtu kwa nini una mwanaume mwingine.
Anakuzuga sijui ni pedeshee anampa pesa. Mara unamwona na mwanaume mwingine. Mimi siyo maskini lakini sasa mara unamwona na brazameni mwingine ‘then’ washkaji wanakwambia. Wewe unajifanya kuziba masikio mara unasikia ana mwanaume mwingine. Lakini ikafika wakati nikajikuta naumia sana kwenye mapenzi.


...akiwa na Jokate. Kama ukisikiliza ule wimbo wa Kesho ni kweli kabisa. Mimi nikakaa pembeni hadi nilipompata huyu wa sasa (Penny).
Nakumbuka (Wema) alinipigia simu akadai mimi ndiye nasema anataka turudiane. Nilikuwa kwenye gari, nikamuuliza anataka nini?
Wakati huo nilishafika nyumbani kwa baby wangu. Nikamwonesha ona sasa, anasema mimi ndiyo nataka nirudiane naye, anatangazia watu hadi saluni kuwa nataka kurudiana naye na kujidai kwenye vyombo vya habari kuwa ananipenda. Kumbe ana wengine (ving’asti) kama ishirini anawahonga (mistari ya wimbo wake wa Nataka Kulewa).
Nilimpa baby wangu akamwambia kistaarabu tuache tulale. Sasa kuna mtu wetu wa karibu ndiye aliyehusika kusambaza ile sauti.
SEMA UKWELI, ULILALA NA UWOYA?
Diamond: (kicheko) Ningeanzia wapi? Unajua mimi ni simba kwa hiyo nikionekana na swala inajulikana lazima nimle hata kama tumeenda sehemu tu kuzungumza ishu za kazi.
KWA NINI WANAWAKE AU ENZI ZILE HAKUWA NA ‘CHANSI’ SASA AMEPATA?
Diamond: Ukimuelimisha mwanamke mmoja umeelimisha ulimwengu mzima. Nawapenda sana, wanajaa tele kwenye shoo zangu. Kilichotokea kwa Wema ilibidi tu sikuwa na jinsi.
ANATAKA MWANAMKE WA AINA GANI?
Diamond: Ukimuuliza mwanamke aliyewahi kuwa na mimi atakwambia najua mapenzi, najua kupetipeti, najua kubembeleza, najua kujifanya mjinga. Narudia tena, awe mzuri, wa kileo, mwenye akili, anayejiheshimu, ampende mama yangu kama mimi ninavyompenda mama yangu.

Nasibu Abdul 'Diamond'.
KWA NINI KIWEMBE?
Uchunguzi uliofanywa na Ijumaa ulibaini kuwa chanzo cha staa huyo aliyetokea Tandale, Dar kuitwa kiwembe ni kutokana na tabia yake ya kubadilisha wanawake kama nguo.
Baadhi ya aliowahi kuripotiwa akidaiwa kutoka nao ni Rehema Fabian (Miss Kiswahili 2009), Jacqueline Wolper (msanii wa filamu), Upendo Moshi ‘Pendo’ (Mshiriki wa Maisha Plus) na  Natasha (Video Queen wa Bongo Fleva).
Wengine ni Wema (mwigizaji), Jokate (mwigizaji), Aunt Ezekiel (mwigizaji), Najma (msanii wa Bongo Fleva), Penny (mtangazaji DTV), Irene Uwoya (mwigizaji) na wengineo.


KIDOTI IS GOING HOT,Waaaaaaapi NI HUKO KWAO RUVUMA

MLIMBWENDE aliyejitosa kwenye tasnia ya filamu za Kibongo na kufanya vizuri, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameanzisha Kipindi cha Kidoti Time ambacho kitafundishwa katika shule za Msingi 27 Songea vijijni Mkoani Ruvuma.…

news MPYAAAAAAA

WALE wasanii wawili waliodumu kwenye uchumba kwa muda mrefu, Ramadhan Baba ‘H.Baba’ na Flora Mvungi wameamua kuvunja ukimya na kutangaza rasmi kuwa wanatarajia kufunga ndoa Juni 8, mwaka huu.…

Tuesday, May 28, 2013

SIKU chache baada ya wasanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper na Baby Madaha kuingia kwenye mzozo wa kugombea nyumba moja ya kupanga ambayo wote waliilipia kodi kwa nyakati tofauti, bifu zito linalotajwa kuwa ni la kifo limeibuka.

Jacqueline Wolper. Sakata la wawili hao lilifika polisi na kubainika kuwa Madaha alilipa kodi kwa tapeli wakati Wolper alitoa fedha zake kwa mwenye nyumba hivyo kumfanya awe na haki ya kuhamia.
Akizungumza na Ijumaa, juzi jijini Dar es Salaam, Madaha alisema pamoja na kubainika kuwa alitapeliwa, mtu pekee ambaye angeweza kumsaidia kupata fedha zake (shilingi milioni tatu) ni Wolper lakini anamchenga.
MADAI YA MADAHA
“Ni kweli nimetapeliwa lakini Wolper kama msanii mwenzangu alikuwa na uwezo wa kunisaidia maana yeye anaishi pale lakini nimemwambia, ananipiga chenga. Sitaongea naye milele, hana utu kabisa. Milioni tatu ndugu yangu si pesa ndogo.”


Baby Madaha. HUYU HAPA WOLPER
Wolper alipotafutwa na Ijumaa na kusomewa malalamiko ya Madaha alisema: “Naweza kusema Madaha hana akili, ni mpuuzi kwa sababu angekuja kwa busara nyumbani kwangu tungezungumza na baba mwenye nyumba tukajua namna ya kumsaidia.
“Lakini yeye kabla hajaomba ushirikiano kwangu, tayari naanza kusumbuliwa na magazeti kuwa eti nimemtapeli. Halafu hajawahi kunipigia simu bali alikuwa anawatuma watu wake kwangu. Kwa nini asingekuja mwenyewe?
“Ina maana yeye ni staa sana au? Huyu hana lolote anataka kupanda kwa kutumia jina langu,” alisema Wolper. 

AKA Mimi Alimaaharufu NGWEA Afariki Dunia.

Rapper, Freestyler, Ngwea amefariki dunia leo hii katika hospitali ya St Hellen iliyoko South Africa, sababu za kifo chake hazijatajwa...endelea kutembelea blog hii kwa habari zaidi.

Monday, May 27, 2013

Fashion and Beauty.


Biggie's Daughter Launches Notoriouss Clothing Line

T'yanna is releasing T-shirts with Banksy-inspired images.

Fashion and Beauty


Michelle Obama Loves Her Tracy Feith Dress

She wears this floral frock for the seventh time.

KNOW ABOUT THIS

Teen Dating Violence: What You Need to Know

Why You Have to Take Violence Seriously
of 108Photo
  • The Consequences of Abuse
  • Violence, Coerced Sex and Condoms
  • Why You Have to Take Violence Seriously
  • Know The Warning Signs
  • Dating Violence and The LGBT Community
  • When Love Hurts
  • What Is Teen Dating Violence?
  • General Dating Violence Stats
  • Blacks and Teen Dating Violence
  • What Encourages This Type of Violence?
  • The Consequences of Abuse
  • Violence, Coerced Sex and Condoms
  • Why You Have to Take Violence Seriously
  • Know The Warning Signs
  • Dating Violence and The LGBT Community
  • When Love Hurts
  • What Is Teen Dating Violence?
  • General Dating Violence Stats
  • Blacks and Teen Dating Violence
  • What Encourages This Type of Violence?
Why You Have to Take Violence Seriously

While some of the public response to Chris Brown and Rihanna’s abusive relationship from young people was alarming, it’s important to understand that violence is serious and that victims do not deserve it. Abuse is not a consequence of you doing something wrong. Read more about the dangers and consequences of teen dating violence here.